» » TECHNOLOGY# JE WAJUA NAMNA YA KUPIGA PICHA KWA KUTUMIA MLUZI ? CHEKI HAPA UPATE MAUJANJA.



Application mpya ya Andoid iitwayo "whistle camera"  

inakupa huduma ww mtumiaji kujipiga picha bila 

kubonyeza kioo au batani yakupigia picha.Application 

hii ni nzuri sana kwa picha za "selfie"(kujipiga 

mwenyew) na pia hupiga picha kwa haraka zaidi kuliko 

kamera ya simu ya kawaida.Unatakiwa kuifungua 

application hiyo then ukisha tegesha simu yako tayar 

kwa kupga picha,unachitakiwa kufanya ni kuweka pozi 

lako kisha unapiga mluzi ili picha iweze kupgwa katika 

simu yako


About Unknown

Hi there! I am Hung Duy and I am a true enthusiast in the areas of SEO and web design. In my personal life I spend time on photography, mountain climbing, snorkeling and dirt bike riding.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply