Habari za Leo?
Katika Muendelezo wetu wa Kutoa Mafunzo ya Blogging hasa kwa kutumia lugha ya kiswahili, leo naomba nikufahamishe njia rahisi zaidi ya kuweka Facebook like box katika blog yako.
FUATA NJIA HIZI RAHISI
Ingia kwenye Dashboard ya Blog yako kisha Bonyeza LAYOUT
Ukishaingia kwenye LAYOUT utabonyeza Add Gadget katika Upande unaotaka Ikae Hiyo Facebook Like Page Yako Mfano Pembeni Juu Kulia.
Kisha Utabonyeza HTML/ Java Script na Kuingiza Codes hizi za HTML.
<iframe src="//www.facebook.com/plugins/likebox.php?href=https://www.facebook.com/ommyboy23&width=270&height=220&colorscheme=light&show_faces=true&border_color&stream=false&header=false&" style="border:none; overflow:hidden; width:270px; height:220px;" ></iframe>
Kumbuka kubadili Jina la ommyboy23 na kuweka jina la Page yake ya Facebook, Pia una nafasi ya kubadili Urefu na upana Kutoka 220 hadi 300. Save na re load blog yako kuona mabadiliko hayo.
Karibu kwa Maswali, Maoni au Ushauri. Kila la Kheri.
Topics: tricks
About Unknown
Hi there! I am Hung Duy and I am a true enthusiast in the areas of SEO and web design. In my personal life I spend time on photography, mountain climbing, snorkeling and dirt bike riding.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Hack Facebook Password Instantly Facebook is presently the king of social networking and the most essential site in the today’s worl...
-
Hakika Huu ndio umekua mwaka wa mabadiliko makubwa kwa mtandao wa Instagram ukilinganisha na miaka mingine iliyopita. Kumbuka mwak...
-
In today’s scenario you will notice that CCTV cameras are used at many places like malls,offices and many more for many purposes.You must...
-
Windows Vista Free Download ISO 32 bit 64 bit. Here you can download full bootable official ISO of Windows Vista 32 bit and 64 bit just i...
-
Jinsi ya kufanya Flash yako kuwa Bootable drive yani ubadirishe windows yako kwa kutumia Flash. Fuata hatua zifuatazo ukitumia power ISO ku...
-
Samsung Galaxy note 7/ TCRA Yapiga malufuku ya uuzaji wa Samsung Galaxy note 7hapa Nchini ,,, MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) i...
-
Pengine wewe ni Muandishi ambaye huchukua muda mrefu kuandaa Kazi au post zako mpaka kuja kuzi publish mtandaoni, hivyo ungependa kuona ...
-
Kwanza kabisa ninaomba nieleweke ktk hili, kama ambavyo Serikali imeagiza kwa mujibu wa sheria kuwa watoto wote ( umri chini ya miaka ...
-
Tuna tumia simu zetu kufanya vitu vingi sana kucheza games, kutuma na kupokea e-mails, kununua vitu, kupiga picha, kurekodi video na hata ...
No comments: